)
2023-11-30T08:36:00+00:00
LIGI KUU Kocha Benchikha afanya kikao na wachezaji Simba SC
Amekutana na wachezaji wake kwa mara ya kwanza tangu apewe majukumu ya kuinoa timu hiyo kwa mkataba wa miaka 2
2023-11-30T08:36:00+00:00
Amekutana na wachezaji wake kwa mara ya kwanza tangu apewe majukumu ya kuinoa timu hiyo kwa mkataba wa miaka 2
2023-11-28T18:54:00+00:00
Ana uzoefu wa kufundisha soka la Afrika kwa miaka 20, akipita katika timu za Raja Casablanca, Club Africain, timu ya Taifa ya Algeria, RS Berkane na CR Belouizdad.
2023-11-27T20:08:00+00:00
Timu hiyo imecheza mechi tatu mfululizo bila ushindi katika mechi za Ligi Kuu Bara na michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
2023-11-22T15:04:00+00:00
Uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam ambapo kama kawaida wametoa jezi za aina tatu yaani nyekundi, nyeupe na ya bluu
2023-11-13T20:30:00+00:00
Simba waliachana kwa amani na Robertinho siku chache tu baada ya kupokea kipigo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika Novemba 5.
2023-11-13T10:45:00+00:00
Ilikuwa ni miongoni mwa timu nane ambazo zilishiriki michuano hiyo iliyofanyika kwa mara ya kwanza Afrika na uzinduzi wake ulifana katika ardhi ya Tanzania.
2023-11-07T12:48:00+00:00
Simba imefikia hatua hiyo ikiwa zimepita siku mbili tangu wafungwe mabao 5-1 na watani zao wa jadi, Yanga katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara
2023-11-06T07:31:00+00:00
Upinzani wenu wa jadi wa zaidi ya miaka 85 sasa ni sehemu muhimu ya burudani ya Watanzania
2023-11-04T15:33:00+00:00
Sina presha yoyote tumejiandaa kama tunavyofanya kwenye mechi nyingine, kikubwa kesho ni kujiepusha na makosa kwani makosa madogo yanaweza kuamua mechi
2023-11-04T14:33:00+00:00
Mimi ni raia wa Brazil ni nchi ya mpira, binafsi napenda kucheza mechi kubwa na kwa siku ya kesho nimekiandaa kikosi changu kwa ajili ya kucheza mchezo dhidi ya Yanga.